Mjadala Wa Wiki

Mvutano kati ya Rwanda na Uganda Marekani yatia neno

Informações:

Sinopse

Makala ya mjadala inaangazia mvutano wa kidiplomasi akati yamataifa mawili ya Afrika mashariki,Uganda na Rwanda wakati huu jumuiya ya Afrika mashariki ikiwa  kimya..wachambuzi Abbas Mwalimu na Haji Kaburu wanadadavua kwa kina.